Wana Lunyasi 🦁Zimebaki siku mbili tuu twende tukafanye yetu Kwa MkapaHakikisha umenunua tiketi au nunua tiketi yako sasaSiku ya mechi hakikisha unakuja na Scarf yako au Bendera yako ili kuhanikiza na kupendezesha mchezo wetu@mohmedia72.com Usiisahau ku follow page hii
No comments:
Post a Comment