Kutoka katika viunga vya Simba Sport Club wanatangazia umma kuwa hawataendelea kuwa na mchezaji wao kiraka Erasto Nyoni baada ya mkataba wake kumalizika msimu huu.
Erasto nyoni baibai Simba SC ni mwendo wa kuangalia mambo mengine.
Vipi kuhusu sawadogo ila mungu yupo nae sana maana ni alikuja kwa sifa lakini hamna lolote
Kupataaarifa zaidi njoo kwenye Simba App Ujionee mengi
No comments:
Post a Comment