Rasmi timu ya singida big stars imeuzwa kwa Japhet Makau ambae kwasasa ndio mmiliki mpya wa timu hiyo itakuwa inafahamika kama (SINGIDA FOUNTAIN GATE FC).
Japhet Makau ni mmiliki wa Fountain Gate FC na kwa saa singida itakuwa timu yake kwa jina la SINGIDA FOUNTAIN GATE FC
Muda sio mrefu watamtambulisha CEO wao mpya na kuendelea kujiandaa na msimu ujao
No comments:
Post a Comment