FT: FAINALI KOMBE LA CARABAO
🏟️ Wembley
MAN UNITED 2-0 NEWCASTLE
⚽³³' Casemiro
⚽³⁹' Rashford
Manchester United imetwaa kombe la EFL Carabao kufuatia ushindi wa 2-0 dhidi ya Newcastle United kwenye fainali katika dimba la Wembley.
Manchester United imetwaa EFLCup kwa mara ya 6 ikiwa ndio klabu ya tatu kutwaa kombe mara nyingi zaidi nyuma ya Liverpool (9) na Man City (8).
Hiki ni kikombe cha kwanza kwa Mashetani Wekundu kwa kipindi cha miaka 6 tangu 2017.
Leo wapo na furaha sana hawajaliona muda mrefu miaka 6 sio mchezo, hongereni sana Manchester United
Follow more
No comments:
Post a Comment