KUTOKA KATIKA VIUNGA VYA TIMU YA SIMBA SPORTS CLUB
Uongozi wa klabu unapenda kuwajulisha kuwa hatutaendelea kuwa na mlinzi wa kushoto Gadiel Michael baada ya mkataba wake kufikia mwisho na hato endelea tena na timu ya Simba sports club
Thank You Gadiel Michael kwa kuitumikia timu ya Simba SC
Kupata taarifa zaidi njoo Simba App
No comments:
Post a Comment