NEWS AND ENTERTAINMENT

Search...

Followers

Jun 30, 2023

BERNARD MORRISON NDANI YA AZAM

 Mchezaji Bernard Morrison BM3 kutokea Young African sc baada ya mkataba wake kuisha amejiunga na club ya Azam fc,

Azam fc imekamilisha usajili wa winga BM3 aliye hudumu YANGA & SIMBA


  Na amesema kuwa

"Naahidi kuonyesha nidham ninapo kuwa uwanjani na nataka YANGA & SIMBA wajuwe kuwa nina nidhamu kuliko mchezaji vyeyote wa ligi kuu Tanzania.


Je! Kwa tunavo mjuwa BM3 atafanya hivyo?????




No comments:

Post a Comment