UWANJA WA MKAPA WAPINGWA "STOP"
-Shirikissho la soka barani Afrika CAF limeufungia uwanja wa Benjamin William Mkapa kutokana na ubovu katika eneo la kuchezea (Pitch) lililoharibika vibaya na kuonekana kutofaa kwa matumizi ya Soccer.
-Hivyo mechi ya mwisho katika uwanja huo utakuwa ni Leo katika mchezo katika ya KMC na Yanga SAA 10:00 jioni na baada ya mchezo huo, Uwanja utafungwa kwa muda wa mwezi 1 kupisha ukarabati.
#mo72hd
#NewsUpdate
Usisahau ku like na ku comment maoni yako
No comments:
Post a Comment