Full Time
Vipers Fc 0-1 Simba
Inonga⚽
Hatimaye Simba imepata ushindi wake wa kwanza katika hatua ya makundi ligi ya mabingwa Afrika kwa kuichapa Vipers Fc bao 1-0
Simba imefufua matumaini ya kutinga hatua ya robo fainali ligi ya mabingwa
Ushindi huo unaifanya Simba kuwa nafasi ya tatu ikiwa na alama tatu wakati Raja Casablanca ikishika nafasi ya tatu ikiwa na alama 6 huku nafasi ya pili ikishikwa na Horoya AC ambapo wana mchezo mmoja ugenini Morocco dhidi ya Raja Casablanca
#mo72hd
#NewsUpdate
#CAFChampionsLeague
No comments:
Post a Comment