𝗙𝗧: MECHI YA KUFUZU AFCON 2023
🏟️ Benjamin Mkapa
TANZANIA 🇹🇿 0-1 🇺🇬 UGANDA
Taifa Stars imekubali kichapo cha 1-0 dhidi ya Uganda, The Cranes katika dimba la Benjamin Mkapa. Bao la dakika la lala salama Rogers Mato limefifusha matumaini ya Tanzania kufuzu kombe la Mataifa Afrika AFCON 2023.
Tanzania inasalia nafasi ya pili alama 4 sawa na Uganda iliyopo nafasi ya tatu baada ya mechi 4.
Algeria inaendelea kuongoza kundi F ikiwa na alama 12 huku Washika mkia Niger wakiwa na alama 2.
#mo72hd
#NewsUpdate
No comments:
Post a Comment